Wed, 13 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Uongozi wa klabu ya Simba Umefufua Mpango wa kuipata saini ya Mlinzi wa kati wa klab ya Coastal Union Lameck Elias Lawi.
Uongozi wa klabu ya Simba Umefufua Mpango wa kuipata saini ya Mlinzi wa kati wa klab ya Coastal Union Lameck Elias Lawi. Imefahamika kuwa Ofa kutoka Simba SC kwenda kwa Wagosi wa kaya tayari imeshatumwa na kinachosubiriwa sasa ni majibu na makubaliano mengine.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: