Wed, 10 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na kiungo mkabaji Babacar Sarr.
Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na kiungo mkabaji Babacar Sarr. Babacar alijiunga na Simba katika dirisha la usajili la mwezi Januari akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba na timu ya US Monastir ya Tunisia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: