Wed, 10 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinda Mlango wa Klabu ya Simba, Raia wa Morocco Ayoub Lakred amewasili kati kambi ya Klabu ya Simba iliyopo nchini Misri inayojiandaa na msimu mpya 2024/25.
Lakred anatazamiwa kuchukua nafasi ya Aishi Manula anaetajwa kutimkia Klabu ya Matajiri wa Chamazi Azam FC.
Ayoub hakuongozana na Msafara wa Simba uliotoka na kikosi cha Simba Jijini Dar es Salaam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: