Thu, 1 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shabiki wa timu ya Taifa ya Cameroon Ngando Pickett bado yupo nchini Ivory Coast licha ya timu yao kutolewa.
Ngando ameshindwa kurudi Cameroon kwa sababu hana pesa ya tiketi ya ndege , kwenye mahojiano Ngando amesema.
“Tunasubiri kama tutapata msaada ili turudi nyumbani [ Cameroon] , Shirikisho la soka Cameroon [ FECAFOOT] tayari limeondoka"
“Mimi na baadhi ya wenzangu tumekwama na tunahitaji msaada ili turudi nyumbani”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: