Tue, 3 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa kiungo wa klabu ya Simba raia wa Senegal Pape Ousmane SaKho huko kwenye Klabu yake mpya Ufaransa US Quevilly-Rouen Métropole (QRM) League 2 ameendelea kukalia mbao ndefu katika Michezo yote waliyocheza ikiwa ni mchezo wa tisa (9) sasa.
Timu yake hiyo ipo nafasi ya kwanza kutoka mwisho kwa maana hii
Michezo 9
Ushindi 1
Sare 2
Wakifungwa Michezo 6
Alama 5
Inashikilia nafasi ya 20
kati ya timu 20
Vipi wana Simba Kijana wenu arudi ama unyamani kama mwenzake Miquissone? Tupe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: