Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Sakho apewa "Thank You" Ufaransa, Simba mnamtaka?

Sakho Orm Aliyekuwa winga wa Simba SC, Pape Ousmane Sakho

Wed, 10 Jul 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Aliyekuwa winga wa Simba SC, Pape Ousmane Sakho amepewa "Thank You" na Klabu yake Quevilley - Rouen Métropole maarufu kama QRM inayoshiriki Ligi Daraja la Tatu nchini Ufaransa.

Aliyekuwa winga wa Simba SC, Pape Ousmane Sakho amepewa "Thank You" na Klabu yake Quevilley - Rouen Métropole maarufu kama QRM inayoshiriki Ligi Daraja la Tatu nchini Ufaransa. Winga huyu machachari amecheza mechi 3 tu kwenye timu hiyo akiwa hana rekodi yoyote ya goli wala assist! Unamshauri nini?

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: