Wed, 17 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa klabu ya Simba, Saido Ntibazonkiza kupitia ukurasa wake wa Instagram amepost picha kwenye insta story yake akionesha yupo katika uwanja wa ndege wa JK Nyerere na kuandika ujumbe,
"See You next time inshaallah" akimaanisha tutaonana tena mungu akipenda.
Je, unadhani Saido kaondoka Simba au Kaondoka tu nchini kwa muda kisha atarejea?
Tupe mawazo yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: