Mon, 12 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyanda wa Mamelodi Sundowns na timu ya Taifa ya Afrika Kusini, Ronwen Williams ameshinda tuzo ya golikipa bora wa michuano ya kombe la Mataifa Afrika 2023 iliyotamatika kwa wenyeji, Ivory Coast kutwaa kombe hilo.
Nyanda wa Mamelodi Sundowns na timu ya Taifa ya Afrika Kusini, Ronwen Williams ameshinda tuzo ya golikipa bora wa michuano ya kombe la Mataifa Afrika 2023 iliyotamatika kwa wenyeji, Ivory Coast kutwaa kombe hilo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: