Wed, 26 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mataifa mengine makubwa ambayo yanaweza kukutana kwenye Robo fainali ni Portugal dhidi ya Ufaransa.
Ufaransa amepita kwenye kundi lake na atacheza 16 bora na mshindi wa pili wa kundi E, kama atashinda basi atafuzu Robo fainali.
Ureno pia ameongoza kundi lake na 16 bora anamsubiri mshindi wa tatu kati ya kundi A,B,C kama atashinda atacheza Robo fainali na Ufaransa.
Hii ni mechi nyingine kubwa katika hatua ya mtoano kama kila kitu kitaenda kama inavyo dhaniwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: