Tue, 23 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Rayon Sports ya Rwanda imemtangaza aliyekuwa kocha wa Simba Sc, Mbrazil Robertinho kuwa kocha mkuu klabuni hapo.
Robertinho anarejea klabuni hapo baada ya hapo awali kuiongoza Rayon Sports kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Rwanda mnamo mwaka wa 2019.
“Tunayo furaha kutangaza kwamba mkufunzi wa kimataifa wa Brazil Roberto Oliveira Gonçalves do Carmo, anayejulikana kama “ROBERTINHO,” ameteuliwa kuwa Kocha wetu Mkuu,” imesema taarifa ya klabu hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: