Kocha Mkuu wa Simba Roberto Oliviera 'Robertinho' akizungumzia maandalizi yao kwenye mechi ya kesho dhidi Yanga amesema anawajua wapizani wake wana viungo wa wazuri ila yeye ameandaa kikosi bora atakachokitumia kesho.
Kocha Mkuu wa Simba Roberto Oliviera 'Robertinho' akizungumzia maandalizi yao kwenye mechi ya kesho dhidi Yanga amesema anawajua wapizani wake wana viungo wa wazuri ila yeye ameandaa kikosi bora atakachokitumia kesho. “Wapinzani wangu wana wachezaji wazuri sana eneo la Kiungo, nami nataka niwazuie wasicheze kutoka eneo hilo, nitachagua wachezaji sahihi wa kazi hiyo, kesho watacheza wachezaji wangu bora eneo hilo lengo nikupata matoke”