Tetesi kutoka msimbazi zinasema kuwa Viongozi wa Simba SC wanatajwa kunoa panga lake kwa ajili ya kusafisha kikosi chao kwa kuondoa wachezaji wapatao 14 ili kusafisha hali ya mambo katika Kikosi hicho.
Zoezi hili litakamilika baada ya Mwalimu kufika katika viwanja vya mazoezi ya Timu hiyo inayojiandaa na mchezo wa hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Glaxy.
Wachezaji wanaotajwa kuwa katika mipango ya kupitishwa panga hilo ni pamoja
John Bocco
Hennock Inonga
Luis Miquissone
Mohamed Mussa
Jimmyson Mwanuke
Shaaban Chilunda
Clatous Chama
Saidi Ntibanzokiza
Shomari Kapombe
Aubin Kramo
Hussein Abel
Nassoro Kapama
Abdallah Ismail
Ayoub Lakred.
Zoezi hilo kwa sasa linasubiri mchujo, muda na ripoti ya kocha Mkuu ambaye anatarajiwa kuanza kazi leo hii Jumanne.
Kwa mtazamo wako nani aondolewe na nani abaki?