Mon, 17 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo mshambuliaji wa Simba, Aubin Kramo tayari amewasili kambini kujiunga na wenzake nchini Uturuki.
Kramo ni miongoni mwa nyota wachache ambao wamechelewa kujiunga na kambi kutokana na vibali vya kuingia Uturuki kuchelewa kutoka.
Tazama Video hapa Chini Nyota huyo akiwasili;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: