Wed, 31 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kaka wa nyota wa AS Vita, Elie Mpanzu, Kibangula Aigle amethibitisha kuwa winga huyo tayari yupo KRC Genk ya Ubelgiji na muda wowote atasaini mkataba wa kuitumikia klabu hiyo.
Kaka wa nyota wa AS Vita, Elie Mpanzu, Kibangula Aigle amethibitisha kuwa winga huyo tayari yupo KRC Genk ya Ubelgiji na muda wowote atasaini mkataba wa kuitumikia klabu hiyo. Akizungumza na Mchambuzi wa soka Hans Raphael @hansrafael14, Kibangula Aigle amesema Simba Sc hawakuwa ‘serious’ na mkongomani huyo hivyo ni Rasmi dili hilo limeota mbawa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: