Wed, 26 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kylian Mbappé amefunga bao lake la kwanza kwenye michuano ya EURO baada ya kuifungia Ufaransa bao dhidi ya Poland katika dimba la Signal lduna Park (Dortmund) kwenye mchezo wa Kundi D.
Bao hilo ni kwanza kwa mchezaji wa timu ya Taifa ya Ufaransa kwenye EURO 2024 licha ya kuwa tayari imefuzu hatua ya 16 bora.
Bao la kujifunga la beki wa Austria, Maximilian Wober ndio bao pekee ambalo limeipeleka hatua ya 16 bora.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: