Miongoni mwa mastaa ambao watakosa michuano ya EURO mwaka 2028, ni Cristiano Ronaldo (39) Ureno, Luka Modric (38) Croatia , Toni Kroos (34) Ujerumani , Manuel Neuer (38) Ujerumani , Robert Lewandowsk (35) Poland , na Olivier Giroud (37) Ufaransa.
Miongoni mwa mastaa ambao watakosa michuano ya EURO mwaka 2028, ni Cristiano Ronaldo (39) Ureno, Luka Modric (38) Croatia , Toni Kroos (34) Ujerumani , Manuel Neuer (38) Ujerumani , Robert Lewandowsk (35) Poland , na Olivier Giroud (37) Ufaransa. Wachezaji hawa kwa sasa wanayatumikia Mataifa yao kwa mara ya mwisho katika michuano hiyo iliyoanza siku ya jana (Juni 14).