Mon, 5 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mashabiki wa soka nchini Nigeria wameilalamikia klabu ya Napoli kwa kutokuonyesha ushirikiano kwa nyota wa Victor Osimhen katika kipindi ambacho yupo kwenye fainali za mataifa ya Afrika nchini Ivory Coast.
Napoli tangu mashindano haya yaanze rasmi January 13 haijampost Victor Osimhen kumtakia heri katika michezo yake kama ambavyo klabu kadhaa kutoka Barani Ulaya zinavyowapost nyota wale wanaoshiriki fainali hizo.
Kuna nini kati ya Napoli na Victor Osimhen?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: