Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mashabiki Nigeria waijia juu Napoli kisa Osimhen

Victor Osimhen.jpeg Victor Osimhen

Mon, 5 Feb 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mashabiki wa soka nchini Nigeria wameilalamikia klabu ya Napoli kwa kutokuonyesha ushirikiano kwa nyota wa Victor Osimhen katika kipindi ambacho yupo kwenye fainali za mataifa ya Afrika nchini Ivory Coast.

Napoli tangu mashindano haya yaanze rasmi January 13 haijampost Victor Osimhen kumtakia heri katika michezo yake kama ambavyo klabu kadhaa kutoka Barani Ulaya zinavyowapost nyota wale wanaoshiriki fainali hizo.

Kuna nini kati ya Napoli na Victor Osimhen?

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: