Thu, 27 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Taifa ya Mali imeshindwa kutinga hatua ya Robo Fainali baada ya kuondoshwa na Equatorial Guinea usiku wa jana kwa mikwaju ya penati katika mchezo wa hatua ya 16 bora.
Equatorial Guinea wameitoa Mali kwa penati 6-5 katika Uwanja wa Limbe baada ya sare kwa dakika 120 za mchezo.
Equatorial Guinea watakutana na Senegal katika mchezo wa Robo Fainali siku ya Jumapili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: