Kikosi cha Wekundu wa Msimbazi, Simba SC kinachoanza dhidi ya Singida Fontaine Gate FC katika mchezo wa nusu fainali ya kombe la Mapinduzi 2024.
Abdelhak Benchikha amefanya mabadiliko matatu kutoka kikosi kilichoibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Jamhuri SC kwenye robo fainali.
Ally Salim anaanza golini akichukua nafasi ya Ayoub Lakred, ingizo jipya Babacar Sarr anaanza badala ya Abdallah Hamis huku Sadio Kanoute akichukua nafasi ya Luis José Miquissone.
Hiki ndicho Kikosi Kamili cha Simba kinachoanza mchezo wa leo;
Salim
Kapombe
Israel
Kennedy
Che Malone
Babacar
Ngoma
Kanoute
Saido
Onana
Baleke