Thu, 30 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati ikiwa hakuna jibu la moja kwa moja kama Kombe la Shirikisho Barani Afrika Limefutwa au la.
Bodi ya Ligi kupitia kwa Mtendaji wake Mkuu Almasi Kasongo, wamekuja na majibu ya uhakika kuhusiana na kitendawili hicho.
Kwa upande wa Tanzania Timu mbili za Simba na Coastal Union zitaiwakilisha nchi msimu ujao.
Msikilize Kasongo kwenye Video hapa chini:
#CAFCC Je, michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika, imefutwa?
— Azam TV (@azamtvtz) May 29, 2024
Majibu haya hapa kutoka kwa CEO wa Bodi ya Ligi, Almas Kasongo kupitia #MshikemshikeViwanjani pic.twitter.com/6ZPCVlcPiF
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: