Thu, 25 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati Sakata la kiungo Mshambuliaji wa Simba Kibu Denis likiendelea kufukuta, Mchambuzi wa Soka Jemedari Said ametusanua kuhusu Timu aliyokwenda Kibu Denis.
Kupitia Ukurasa wake wa Instagram, Jemedar ameandika;
KRISTIANSUND BK ndiyo timu “mpya” ya Kibu Denis. Klabu imeanzishwa mwaka 2003 ina uwanja wake wenye uwezo wa kubeba watu 4,444 walioketi ikiwa imepanda daraja na sasa inacheza daraja la kwanza nchini Norway.
Kibu ana mualiko wa mwezi mmoja (angalia barua) kuanzia Julai 8 2024.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: