Fri, 26 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shirikisho la Soka la Ivory Coast ( FIF) na Shirikisho la Soka nchini Ufaransa ( FFF) wapo katika majadiliano ya kuwa kocha Herve Renard aiifundishe timu ya ya Taifa ya Ivory Coast katika michezo iliyosalia ya AFCON 2023.
Shirikisho la Soka la Ivory Coast ( FIF) na Shirikisho la Soka nchini Ufaransa ( FFF) wapo katika majadiliano ya kuwa kocha Herve Renard aiifundishe timu ya ya Taifa ya Ivory Coast katika michezo iliyosalia ya AFCON 2023. Herve Renard ameshashinda mataji mawili ya AFCON akiwa na Zambia kisha akabeba akiwa na Ivory Coast.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: