Wed, 13 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo Mkabaji wa Simba Queens, Vivian Corazone ashinda tuzo ya mchezaji bora wa mashindano ya Ngao ya Jamii 2023.
Kiungo Mkabaji wa Simba Queens, Vivian Corazone ashinda tuzo ya mchezaji bora wa mashindano ya Ngao ya Jamii 2023. Simba Queens ilinyakua taji la Ngao ya Jamii baada ya kuichapa JKT Queens kwa mikwaju ya Penati 4-5.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: