Fri, 2 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtendaji Mkuu wa Simba, Uwayezu Francois amewasili katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kutazama mazoezi ya mwisho ya timu hiyo wakijiandaa kuivaa APR ya Rwanda.
Simba itacheza na APR kesho Agosti 3, 2024 katika mchezo wa tamasha la Simba Day litakalofanyika kwenye dimba la Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.
Tazama Video hapa Chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: