Tue, 12 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa klabu ya Simba Aubin Kramo anaendelea kuimarika taratibu na ameanza mazoezi na kikosi cha kwanza akitoka majeruhi na huenda akaanza kuitumikia timu hiyo msimu ujao.
"Wakati wa Mungu hauna wakati wa mwanadamu. Ninakuamini Mungu wangu kwa sababu tuna majaribu mengi ya kupitia na historia nyingi ya kuandika.
Asante kwa neema yako katika maisha yangu".
ameandika nyota huyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: