Sat, 21 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msemaji wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally amesema licha ya Simba kutoa sare dhidi ya Al Ahly ya Misri ya mabao 2-2, Simba itapata ushindi ugenini na kuitapisha damu timu hiyo kubwa Afrika nyumbani.
Msemaji wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally amesema licha ya Simba kutoa sare dhidi ya Al Ahly ya Misri ya mabao 2-2, Simba itapata ushindi ugenini na kuitapisha damu timu hiyo kubwa Afrika nyumbani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: