Tue, 25 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Michuano ya AFCON inaendelea nchini Cameroon, na sasa ni hatua ya 16 bora kusaka nafasi ya kutinga kwa hatua ya robo fainali.
Katika mchezo wa kwanza majira ya saa moja usiku kwa saa za Afrika Mashariki, utashuhudia Senegal wakioneshana umwamba na Cape Verde.
Mchezo wa Baadae majira ya saa Nne usiku utashuhudia Morocco wakitunishiana msuli na Malawi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: