Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, ameweka rekodi mpya na kuzidi kuiheshimisha tasnia ya Muziki wa Tanzania baada ya kuwa Msanii wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kufikisha idadi ya Wasikilizaji (streams) zaidi ya milioni 400 kwenye mtandao wa Boomplay.
Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, ameweka rekodi mpya na kuzidi kuiheshimisha tasnia ya Muziki wa Tanzania baada ya kuwa Msanii wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kufikisha idadi ya Wasikilizaji (streams) zaidi ya milioni 400 kwenye mtandao wa Boomplay. Diamond amekuwa akiweka rekodi marakadhaa kwenye mitandao mbalimbali kama YouTube, Spotify na mara hii ameongeza huko Boomplay.