Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kibu Denis amkana msimamizi wake, atoa kauli hii...!(+Video)

Video Archive
Fri, 26 Jul 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Baada ya Mwanasheria Rashid Yazidu kufanya mahojiano na vyombo mbalimbali vya habari akijitambulisha kama msimamizi wa Kibu Denis, mchezaji huyo [Kibu Denis] ameibuka na kumkana Yazidu.

Baada ya Mwanasheria Rashid Yazidu kufanya mahojiano na vyombo mbalimbali vya habari akijitambulisha kama msimamizi wa Kibu Denis, mchezaji huyo [Kibu Denis] ameibuka na kumkana Yazidu. Kibu amesema Yazidu ni mwanasheria ambaye alimpa kazi na baada ya kazi hiyo walimalizana na hawakuwa na mkataba wa kufanya kazi pamoja.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: