Menu ›
Habari
Tue, 13 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Mbunge wa Isimani Iringa William Vangimembe Lukuvi kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii), Lukuvi ni Mbunge wa Jimbo la Isimani, Iringa.
Rais Samia pia amemteua Mbunge Mstaafu Abdallah Bulembo kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: