Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro leo Septemba 01, 2023 na kupokelewa na Viongozi mbalimbali akiwemo Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro leo Septemba 01, 2023 na kupokelewa na Viongozi mbalimbali akiwemo Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye. Rais Dk.Samia amewasili jijini Arusha ambapo siku ya kesho atazindua Jengo la Makao Makuu ya Umoja wa Posta Afrika (PAPU TOWER).