Menu ›
Habari
Thu, 17 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Sifuni Ernest Mchome kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA).
Amemteua pia Ally Amani Karavina kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Reli Tanzania na uteuzi huu unaanza mara moja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: