Menu ›
Habari
Thu, 14 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji Mshibe Ali Bakari kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), pia, amemteua Dkt. Emmanuel Jonathan Mpeta kuwa Makamu Mwenyekiti
Amemteua Theobald Maingu Sabi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Mkonge Tanzania
Teuzi zote zimeanza Desemba 10, 2023.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: