Menu ›
Habari
Wed, 20 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais Samia Suluhu Hassan amempandisha cheo Kamishna wa Polisi, Camillus Wambura na kumteua kuwa Inspekta Jenerali na Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP).
Wambura alikuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumatano Julai 20, 2022 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus imeeleza kuwa Rais amemteua aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi, Simon Sirro kuwa Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: