Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

MenuMichezo
Tennis

Rafael Nadal ajitoa Australian Open 2018

1808 NadalWEB1 Master768 TZW

Wed, 24 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Mcheza tenesi namba boja kwa ubora duniani Rafael Nadal wa Hispania amejiondoa katika mashindano ya Australian Open 2018.



Nadal amejiondoa katika michuano hiyo kutokana na kuumia mguu wake wa kulia wakati akicheza na mpinzani wake Marin Cilic.

Mpaka wakati Nadal anajitoa kati kati ya mchezo huo, Cilic alikuwa anaongoza kwa seti 3-6, 6-3, 6-7 (5), 6-2, 2-0.

Kwa hiyo Cilic ametinga nusu fainali yake ya kwanza ya michuano hiyo ambapo atachuana na Muingereza Kyle Edmund.

Chanzo: bongo5.com