Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

MenuMichezo
Tennis

Marin Cilic atwaa ubingwa wa Fever Tree Championships mbele ya Novak Djokovic

9944 P06bzwyb TZW

Mon, 25 Jun 2018 Chanzo: bongo5.com

Mchezaji tennis raia wa Croatia, Marin Cilic amefanikiwa kutwaa ubingwa wa Fever Tree Championships baada ya kumshinda Novak Djokovic kwenye michuano hiyo mchezo uliyochezwa kwenye viwanja vya Queen’s Club hapo jana siku ya Jumapili.



Mcroatia huyo wikiendi hii amemfunga mchezaji namba moja kwa viwango vya ubora duniani, Novak na kutwaa ubingwa wake kwa jumla ya seti  5-7 7-6 (7-4) 6-3.

Cilic mwenye umri wa miaka 29 amefanikiwa kuchukua taji hilo kwa mara ya pili mara baada ya kumshinda, Feliciano Lopez .

Loading...
Chanzo: bongo5.com