Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

MenuMichezo
Tennis

Kyle Edmund atinga nusu fainali ya Australian Open

1790 Skysports Tennis Grand Slam Australian Tennis Open Kyle Edmund 4212472 TZW

Tue, 23 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Mchezaji tennis,Kyle Edmund ameendeleza ubabe wake katika michuano ya Australian Open baada ya kumshinda Grigor Dimitrov na kufanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali nakuwa Grand Slam yake ya kwanza kufika hatua hiyo.



Katika mchezo huo uliyopigwa katika dimba la Rod Laver Arena, Edmund mwenye umri wa miaka 23, ameshinda kwa jumla ya seti 6-4 3-6 6-3 6-4 ndani ya masaa mawili na dakika.

Kyle Edmund ambaye anashika nafasi ya pili katika viwango vya ubora wa mchezo huo nchini Uingereza huwenda akakutana na muingereza mwenzake Andy Murray ambaye anashika nafasi ya kwanza nchini humo.

Chanzo: bongo5.com