Sat, 3 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Zlatan Ibrahimovic haishiwi vituko na sasa amekuja na penedkezo jipya katika harakati za kuacha alama za soka lake.
Akiongea katika moja ya vyombo vya Habari nchini Italia amesema
"Siku Nikistaafu Magoli yanapaswa kupewa Jina langu, mfano Pele alifunga Zlatans 1000 kwa kipindi chake japo nusu yalikua offside, FIFA waanze kulifanyia kazi."
"Ni uzuri ulioaje mfano kusikia Messi kafunga Zlatan Zuri mno au mtu kafunga Hat-trick Zlatans"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live