Tue, 3 Oct 2023
Chanzo: Dar24
Nyota wa zamani wa Inter Milan, Barcelona, Man United na AC Milan amedokeza namna ambavyo alikuwa hapendi kupangiwa mambo.
Akizungumza Zlatan anasema;
"Kwa mara ya kwanza nlipokutana na Pep Guardiola Barcelona aliniambia, Unatakiwa kufahamu hapa wachezaji hawapaswi kuja na ferraris!"
Niliwaza nkasema kwani nimefanya nini? Siku iliyofuata nkaja na Ferrari yangu.
Chanzo: Dar24