Thu, 9 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
winga wa Chelsea Hakim Ziyech hatorejea tena Chelsea na atasalia Galatasaray kwa uhamisho wa kudumu pindi Mkataba wake wa Mkopo utakapokamilika.
winga wa Chelsea Hakim Ziyech hatorejea tena Chelsea na atasalia Galatasaray kwa uhamisho wa kudumu pindi Mkataba wake wa Mkopo utakapokamilika. Kipindi anajiunga na Galatasaray kwa mkataba wa mkopo kulikua na kipengele cha kumnunua moja kwa moja hivyo klabu hiyo ya uturuki imetumia iko kipengele,
Chanzo: www.tanzaniaweb.live