Thu, 29 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kukaa nje ya uwanja kwa muda mrefu, hatimaye Kocha Zinedine Zidane (51) yuko tayari kurudi kufundisha tena soka.
Baada ya kukaa nje ya uwanja kwa muda mrefu, hatimaye Kocha Zinedine Zidane (51) yuko tayari kurudi kufundisha tena soka. Zidane mwenye mataji matatu ya UEFA Champions League ametajwa kurudi kufundisha, huku Klabu ya Juventus ya nchini Italia ikitajwa kumchukua kocha huyo kwa msimu ujao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live