Wed, 5 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Zinédine Zidane amekuwa nje ya uwanja tangu alipoondoka Madrid mwaka 2021 , Zidane amesema amemiss majukumu yake kama mwalimu ingawa hayakuwa maisha rahisi.
“Nipo bize na ratiba zangu zingine , ila nimemiss sana maisha kama kocha licha ya kuwa maisha ya huko ni magumu sana”
Kauli tata sana hii hasa kipindi hiki ambacho klabu nyingi hazina makocha na nyingine zipo kwenye mipango ya kuachana na makocha wao
Chanzo: www.tanzaniaweb.live