Thu, 16 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Taifa ya Vijana Zanzibar chini ya Miaka 15 ( Karume Boys) imefanikiwa kushinda Michuano ya CECAFA U-15 iliyofanyika nchini Uganda kwa kuwafunga wenyeji wa mashindano timu ya Taifa Uganda kwa mikwaju ya penati 4-3.
Timu ya Taifa ya Vijana Zanzibar chini ya Miaka 15 ( Karume Boys) imefanikiwa kushinda Michuano ya CECAFA U-15 iliyofanyika nchini Uganda kwa kuwafunga wenyeji wa mashindano timu ya Taifa Uganda kwa mikwaju ya penati 4-3. Katika michuano hiyo pia Tanzania wao wameshika nafasi ya tatu baada ya kushinda 1-0 dhidi ya Sudani Kusini.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live