Sat, 21 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Zamalek inataka kumsajili mshambuliaji John Okoye Ebuka (26) raia wa Nigeria kutoka klabu ya Ceramica Cleopatra kwa ajili ya kampeni zake za michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Klabu ya Zamalek inataka kumsajili mshambuliaji John Okoye Ebuka (26) raia wa Nigeria kutoka klabu ya Ceramica Cleopatra kwa ajili ya kampeni zake za michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Klabu ya Ceramica Cleopatra inataka kiasi cha dola milioni 1.3 kwa ajili ya nyota huyo aliyefunga mabao 26 kwa kipindi cha misimu mitatu iliyopita kwenye Ligi kuu Misri lakini Zamalek ipo tayari kutoa Dola Laki 8.5.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live