Sat, 15 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Zamalek SC ya nchini Misri, imemteua Mkufunzi kutoka Colombia,Juan Carlos Osorio Kuwa Kocha Mkuu Mpya wa Klabu hiyo akichukua nafasi ya Jesualdo Ferreira (75) aliyefukuzwa Mwezi uliopita.
Klabu ya Zamalek SC ya nchini Misri, imemteua Mkufunzi kutoka Colombia,Juan Carlos Osorio Kuwa Kocha Mkuu Mpya wa Klabu hiyo akichukua nafasi ya Jesualdo Ferreira (75) aliyefukuzwa Mwezi uliopita. Juan Carlos Osorio ameshawahi kupita katika Klabu ya Man City kama Kocha msaidizi mwaka 2001/2005.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live