Sun, 30 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Licha ya kupigwa faini na kupokwa points baada ya kugoma kucheza mchezo wa ligi kuu dhidi ya klabu ya Al-Ahly, Zamalek wameendeleza mgomo wao.
Klabu hiyo imesema haitacheza mechi yoyote ya ligi kuu hadi klabu ya Al-Ahly itakapomaliza viporo vyake.
Mpaka sasa Al-Ahly wamecheza mechi (19) kati ya mechi (34) wanazotakiwa kucheza kwenye Egypt premier league.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live