Wed, 25 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kukubali kichapo cha mabao 3-2 kutoka kwa Yanga juzi Jumatatu katika Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Mkuu wa Kitengo cha Habari cha Azam FC, Thabit Zakari "Zakazakazi" kwa mara ya kwanza amezungumza baada ya kipigo hicho.
Akizungumza Zakazakazi anasema;
" Nikweli wachezaji waliahidiwa bonus (Japo hakuitaja kiasi gani), Pia Nimpongeze mwamuzi, (Ahmed Arajiga) alichezesha vizuri, Ni nadra kuona Azam tunapata penati dhidi ya hizi timu za Kariakoo. Mara ya mwisho Azam kupata penati dhidi ya Yanga ilikua 2012"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: