Thu, 13 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Azam Fc Thabit Zakaria @zakazakazi amesema hafurahishwi na migogoro lakini kwenye mpira ni kuchekana tu hakuna lingine.
Zakazakazi anasisitiza kwenye migogoro ya timu zingatia rangi tu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live