Wed, 6 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati Mshambuliaji wa Azam FC, Prince Dube akizua tafrani katika Klabu ya Azam FC akiomba kuondoka.
Wapenzi na wapenda soka wamekuwa wakimhusisha mchezaji huyo kutaka kujiunga na Klabu ya Yanga.
Sasa Mkuu wa Kitengo cha Habari cha Yanga, Thabit Zakaria maarifu kama Zakazakazi ametoa neno juu ya uvumi huo;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live