Fri, 27 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Uongozi wa Klabu ya Coastal Union umemtema Kocha wake Mwinyi Zahera aliekuwa Kocha Mkuu wa kikosi hicho.
Uamuzi huo umekuja baada ya matokeo mabovu kwa Coastal tangu kuanza kwa msimu 2023/24.
Kwa sasa Timu ya Coastal iko chini ya Kocha msaidizi Fikirini Elias ambae ameiongoza kupata ushindi wake wa kwanza msimu huu mbele ya Mashujaa Oktoba 26.
Mwinyi Zahera amepangiwa majukumu mengine na Klabu imeweka wazi kusaka mirthi wa nafasi yake.
Soma kwa urefu Taarifa ya Klabu ya Coastal Union;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: